Kumbukaaa

Siku
Utakapokuwa Unatolewa Roho Yako
Ndugu Zako Wako Pembeni Yako
Huyu Kakushika Mkono
💪
💪
Huyu Kakupakata Kichwa
💆
💆
Huyu Anakufuta Jasho Usoni
😥
😨
Huyu Kashika Kikombe Cha Uji
☕
☕
Mama Yako Anachukua Uji Kukunywesha
👱
👰
Lakini Wapi
😭
😭
Unanyweshwa Uji, Uji Unarudi Na Kuchuruzika Chini
👎
👎
👎
Unaulizwa Tukupe Nini??
💁
💁
Unajibu Nipeni Majii
🚰
🚰
Maji Yanaletwa Unanyweshwa, Lakini Waapi???
😭
😭
Yanajaa Kinywani Kisha Yanarudii
👄
👅
Koo Limeshafungwa, Haliingizi Wala Halitoi Chochote
😷
😯
Mama Yako Anabubujikwa Na Machozi
😭
😭
Anashindwa Kujizuiya, Anakimbilia Nje Usimuone Anavyolia
🙈
🙈
🙉
Kila Unayemuangalia Humalizi Kumuangalia
👀
👀
Kwani Moyo Wako Unajua Zimebakia Sekunde Chache Tuu Hamtoonana Tena
🛂
🛂
Unawazaa
💭
💭
💭
Unakwenda Ugenini
🙅
🙅
🙇
🙇
Hakuna Baba Wala Mama
👳
👲
👱
Hakuna Mke, Watoto Wala Ndugu Yoyote Yule
👫
👪
👬
👭
Huna Fedha Wala Cha Kukusaidia Huko
💷
💵
💱
💰
#ZAIDI YA MATENDO YAKO
Ndipo Unapoomba Niitieni Baba Niitieni Mama,
Unatamani Uwaage Kwa Mara Ya Mwisho Lakini
Ohhhh
😭
😭
😭
😭
😭
😭
😭
Kinywa Kinakua Kizitoooo
👄
👅
Ewee Mwaaadamu Kumbuka Siku Hiyo Wewe
👉
👉
👉
Kipi Unachoringia Hivi Sasa
❓
❓
❓
Ukifikiria Watoto Wako
💭
👪
👪
Ukifikiria Mke/Mume Wako
💭
👬
👫
Basi Chozi Linakuchuruzika Linafika Mpaka Mashavuni
😭
😭
😭
#MWISHO WAKO UMEFIKAAA
✋
👋
👋
#WATOAJI ROHO WAMEFIKA
👽
👽
👻
👻
Mama Yako Anapiga Ukelele Kuwaita Madaktari
💉
💊
💉
💊
Lakini Waaaapiii
😭
😭
😭
😨
😨
Madaktari Kukuona Tu Wanajua Huyu Tayari Hatupo Nae Tena Duniani
🌍
🌏
🌎
#JIFIKIRIE MWANADAMU
💭
💭
💭
#Mali Zisikuhadae Ukamsahau Aliyekuumba
💰
💷
💱
💲
#Watoto Wasikufanye Ukajivunia Hii Dunia Ukajiona Utadumu Milele
🌍
🌏
🌎
#Mume\Mke Asikupe Fakhari Ukaona Hapana Isipokua Yeye
👫
👬
👭
IPO SIKU UTAVIACHA VYOTE HIVYO ,WALA HAPANA WA KULIZUIYA HILO
💪
💪
💪
ADUI YETU SHETANI HALALI IWEJE SISI TUNALALA????
😈
💀
👹
👺
👿
👾
TUJIEPUSHE NA MACHAFU NA MAOVU
TUPATE SALAMA KWA MWENYEZI MUNGU
Huyu Kakupakata Kichwa
Huyu Anakufuta Jasho Usoni
Huyu Kashika Kikombe Cha Uji
Mama Yako Anachukua Uji Kukunywesha
Lakini Wapi
Unanyweshwa Uji, Uji Unarudi Na Kuchuruzika Chini
Unaulizwa Tukupe Nini??
Unajibu Nipeni Majii
Maji Yanaletwa Unanyweshwa, Lakini Waapi???
Yanajaa Kinywani Kisha Yanarudii
Koo Limeshafungwa, Haliingizi Wala Halitoi Chochote
Mama Yako Anabubujikwa Na Machozi
Anashindwa Kujizuiya, Anakimbilia Nje Usimuone Anavyolia
Kila Unayemuangalia Humalizi Kumuangalia
Kwani Moyo Wako Unajua Zimebakia Sekunde Chache Tuu Hamtoonana Tena
Unawazaa
Unakwenda Ugenini
Hakuna Baba Wala Mama
Hakuna Mke, Watoto Wala Ndugu Yoyote Yule
Huna Fedha Wala Cha Kukusaidia Huko
#ZAIDI YA MATENDO YAKO
Ndipo Unapoomba Niitieni Baba Niitieni Mama,
Unatamani Uwaage Kwa Mara Ya Mwisho Lakini
Ohhhh
Kinywa Kinakua Kizitoooo
Ewee Mwaaadamu Kumbuka Siku Hiyo Wewe
Kipi Unachoringia Hivi Sasa
Ukifikiria Watoto Wako
Ukifikiria Mke/Mume Wako
Basi Chozi Linakuchuruzika Linafika Mpaka Mashavuni
#MWISHO WAKO UMEFIKAAA
#WATOAJI ROHO WAMEFIKA
Mama Yako Anapiga Ukelele Kuwaita Madaktari
Lakini Waaaapiii
Madaktari Kukuona Tu Wanajua Huyu Tayari Hatupo Nae Tena Duniani
#JIFIKIRIE MWANADAMU
#Mali Zisikuhadae Ukamsahau Aliyekuumba
#Watoto Wasikufanye Ukajivunia Hii Dunia Ukajiona Utadumu Milele
#Mume\Mke Asikupe Fakhari Ukaona Hapana Isipokua Yeye
IPO SIKU UTAVIACHA VYOTE HIVYO ,WALA HAPANA WA KULIZUIYA HILO
ADUI YETU SHETANI HALALI IWEJE SISI TUNALALA????
TUJIEPUSHE NA MACHAFU NA MAOVU
TUPATE SALAMA KWA MWENYEZI MUNGU
Comments
Post a Comment